Halaqah ya 48 - Sheikh Saleh Nzeyimana Risasi - Quran na Wanadamu
Датум на: 19/04/2015 20:29   - Од страна на: bambabi   - 320 Пати   - Категорија: Разни
Kiswahili Halaqah ni kipindi ambacho uandaa na kuwaletea mawaidha kutoka kwa masheikh tofauti duniani kwa lugha ya Kiswahili. Mawaidha hua yanatolea kila Ijuma Mosi Jioni na Ijuma Pili Asubuhi kupitia simu (Conference Call)