Halaqah ya 49 - Sheikh Zuberi Muusa - Ayalingani Mazuri na Mabaya
Tarih: 19/04/2015 20:27   - Tarafından: bambabi   - 319 Görüntüleme   - Kategori: Çeşitli
Kiswahili Halaqah ni kipindi ambacho uandaa na kuwaletea mawaidha kutoka kwa masheikh tofauti duniani kwa lugha ya Kiswahili. Mawaidha hua yanatolea kila Ijuma Mosi Jioni na Ijuma Pili Asubuhi kupitia simu (Conference Call)