WANAWAKE WAJAWAZITO 175 KATI YA LAKI MOJA ULIMWENGUNI WALIFARIKI WAKIJIFUNGUA MWAKA WA 2014. HII NI CHANGAMOTO KWA RUWAZA YA MALENGO YA MILENIA INAYONUIA KUHAKIKISHA KUWA HAKUNA MWANAMKE ANAYEPOTEZA MAISHA WAKATI WA KUJIFUNGUA. KATIKA MAKALA YA SIHA NJEMA DIANAROSE ANACHANGANUA KUHUSU SABABU ZINAZOCHANGIA AKINA MAMA KUAGA DUNIA WANAPOJIFUNGUA.