Mtu mmoja afariki dunia na wengine sita kujeruhiwa mkoani Morogoro.
تاریخ: 17/07/2014 06:44   - کی طرف سے: bambatz   - 64 مناظر   - زمرہ: مختلف
Mtu mmoja amefariki dunia papo hapo na wengine sita wamejeruhiwa baada ya kuangukiwa na lori lilisheheni kokoto waakati likijaribu kukwepa mwendesha pikipiki kisha kuacha njia na kupinduka na kuwaangukia watembea na kuwabana kwa masaa kadhaa katika eneo la msamvu mjini Morogoro