Mtu mmoja afariki dunia na wengine sita kujeruhiwa mkoani Morogoro.
תאריך: 17/07/2014 06:44   - על ידי: bambatz   - 64 צפיות   - קטגוריה: שונים
Mtu mmoja amefariki dunia papo hapo na wengine sita wamejeruhiwa baada ya kuangukiwa na lori lilisheheni kokoto waakati likijaribu kukwepa mwendesha pikipiki kisha kuacha njia na kupinduka na kuwaangukia watembea na kuwabana kwa masaa kadhaa katika eneo la msamvu mjini Morogoro