News : Timu ya Harambee stars yawasili kutoka Kampala
תאריך: 09/12/2012 14:09   - על ידי: bambake   - 630 צפיות   - קטגוריה: שונים
Kocha James Nandwa ameomba serikali na shirikisho la kandanda nchini FKF kuwapa makocha wa Kenya nafasi ya kuongoza timu za humu nchini. akizungumza katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta walipowasili kutoka kampala Uganda