News : Timu ya Harambee stars yawasili kutoka Kampala
Dagsetning: 09/12/2012 14:09   - Með því Að: bambake   - 630 Skoðað   - Flokkur: Ýmsir
Kocha James Nandwa ameomba serikali na shirikisho la kandanda nchini FKF kuwapa makocha wa Kenya nafasi ya kuongoza timu za humu nchini. akizungumza katika uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta walipowasili kutoka kampala Uganda