Data: 24/09/2012 18:11   - Nga: bambaug   - 1299 Views   - Kategori: Të ndryshme
Alasiri ya leo polisi wamewakamata tena raia wa Bulgaria walioachilia kwa dhamana wiki iliyopita kuhusiana na madai kuwa walikuwa wakipora pesa kwenye mashine za ATM.\nWashukiwa hao ambao wadhamini wao tisa ni raia wa Uganda wanakabiliwa na mashtaka 30 yakihusiana na kutumia udanganyifu.\nRaia hao wanne wa Bulgaria wanadaiwa kuendesha wizi wa pesa kutoka mashine za atm waliachiliwa kwa dhamana ya shilinghi milioni tatu kila mmoja huku wakitakiwa kusalimisha vibali vyao vya pasipoti kwa mahakama.\nWashukiwa hao wanne mkiwemo Milen Katsarki